Rosa Ree

Tanzanian Rap goddess Rosa Ree jetted in the country for a media tour as well as a charity drive for cancer survivors in Kariobangi North in collaboration with Radio Citizen host Willy M. Tuva and PAG church.

The event came just weeks after a heated battle between Kenyan rappers and Tanzanians.

The battle was ignited by Khaligraph Jones who dissed Tanzania’s rapping game and  Rosa Ree led Tanzanians in hitting back at  Khaligraph Jones.

During her visit in the country, the Tanzanian rapper however addressed her relationship with Khaligraph saying that their beef was meant entertainment purpose and work and it doesn’t reflect their relationship in real life.

“Nadhani tuzingatie zaidi kilichotuleta hapa. Kilichotuleta ni kitu cha amani na upendo. God is love nimekuja hapa kwa ajili ya mapenzi ya mwenyezi Mungu nimekuja hapa kufwata watu kwa ajili ya kuwatia moyo kwa hivyo hicho kitu ni kitu ambacho kinatakiwa kituonyeshe ya kwamba kiukweli nimekuja kwa amani na upendo vitu vingine tuviache kwenye mambo ya miziki. Watu wakibattle huko mtu anatoa ngoma ngoma  mwingine anatoa ngoma tunabattle kwenye kazi huku kwenye maisha tunapendana tunasambaza upendo hata ile tulikuwa tunasambaza,” she said adding that,

“There is more to life than what meets the eye. Kitu cha lkwanza ambacho nimefanya baada ya kuja Kenya ni kitu ambacho kinatujaza kiroho sio kitu ambacho kinatujaza kwenye mitandao ya kijamii kwa hivyo kueza kuleta furaha na kutia moyo that my MO kweney mziki wangu  na that’s why it is the first thing I did when I came to Kenya and I will continue doing this just to spread love.”

At the same time, she admitted that the beef was in good faith for the benefit of both countries rap genre.

“Kile kitu kilikuja nadhani kilikuja kwa uzuri. Kwenye maisha unaeza ukawaza kitu kizuri kikaja na gear mbaya lakini at the same time pia kinakuwa kizuri,” Rosa Ree said.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Rosa Ree (@rosa_ree)

 

 

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *