Kamba Gospel artist Stephen Kasolo has finally addressed the ongoing Justina Syokau issue calling her out for always ranting instead of seeking for help in a modest manner.

”I want to address Syokau’s issue, watu wame I amplify sana na  nataka  ni I address in this perspective” syokau ni mtoto  wetu kutoka ukambani na Syokau amefanya mambo ambayo hayanifurahishi.” Kasolo begun.

Kasolo who lectured Syokau for ranting and abusing people on social media in order to get recognition decried him being a topic of discussion.

Jana niliingia Tiktok nikapata Syokau ananitusi anatusi waimbaji  anatusi leaders then I was shocked”

Kasolo who seems disturbed by the issue then wondered on the direction taken by the twenty twenty thilii singer who is crying for suffering with her child.

”Nikajiuliza  wakati mtu ako na shida do you go to the public kulia  kutukanana ndio usaidiwe ama unaeza pigia msanii ama rafiki yako akakusaidia?

He further revealed that Syokau intentionally declined picking his calls during a Tiktok live where she was allegedly abusing different people.

”Iam not against syokau I love Syokau na jana nlimpigia simu  more than 10 calls najaribu kumwambia Syokau toka live wacha kutukana akiona simu yangu ndio alikuwa anatukana zaidi ”

Kasolo also brought the controversial musician to book for isolating herself from fellow Kamba musicians.

”Syokau is our sister hakuna mtu hqpendi Syokau lakini shida ya syokau ni moja  hayuko kwa group za whatsapp za  waimbaji wa ukambani sijai ona akichanga tunachanganga sana”

He also challenged her to work hard comparing her with other younger women who are in a similar situation like her.

”Syokau hajishughulishangi kazi yake ni kununua matako na kuishi fake life Syokau utaishi maisha ya kufake mpaka lini hata  hii kilio analia there might be a problem au ni clout.

Kasolo however noted Justina might be genuine but her constant clout chasing behavior makes it had for people to buy her grievances.

”Kwenda kwa media kutukana wasani wenzako itakusaidia ulikuwa na namba yangu  hakunipigia na Syokau ukimpigia simu hawezi shika because ako na ego inazidi hata ya Shetani.  Kasolo added asking Syokau to seek for aid towards supporting her child with decency.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *