Ringtone

The  chairman of gospel music Ringtone Apoko was overwhelmed with emotions while addressing his recent arrest in Karen.

Ringtone was arrested on Friday last week over land grabbing allegations. He was arrested after storming a private home that allegedly belongs to a Sudanese family.

Speaking to digital reporters, the gospel artist however claimed the said property belongs to him. According to him, he went to Karen after being informed by his workers that some people had broken in to hold a party. He was charged with malicious damage of property.

“Ilibaki kidogo nikufe kwangu. karibu niuliwe mahali naishi. Kenye ilifanyika, nilipigiwa simu na wafanyakazi wangu Karen. Nikaambiwa kuna watu wamevunja gate,. wameingia ndani na wameanza kufanya sherehe kwa garden. Nikaenda Karen kufika  nikapata wapangaji  wangu na majirani wanapigana na hao watu walikuwa wamevamia hapo so kutoka pale maaskari wakakuja wakatushika sisi wenye ni wakaaji wa hapo, especially walikuwa wananitarget mimi. Nikashikwa kwangu nikapelekwa station nikashtakiwa kwa kuharibu mali yangu ambayo nimenunua na pesa yangu,” he narrated.

He further claimed that he was threatened  but he chose to remain silent because no one would have understood him.

“Nimetoka ndani kama nimetishiwa. Mimi ni mkenya niko Kenya kwetu. Nimefanyiwa madhambi. Sikuongea kwasababu naona hakuna mtu angenielewa. Nimeona watu wamecreate perception ya kwamba mimi ni mgaidi na ni nyumba nimejkuwa nikiishi nguo zangu ziko hapo ndani, viti zangu, vitanda nalala mahali naishi napost videos ukiangalia kwa social media zangu ni mahali nimekuwa naishi lakini kwasababau ya ugaidi watu wamenifanyia madhambi yote,” Ringtone lamented

“Mimi hakuna kitu nawezafanya mimi sikuona baba yangu mimi ni yatima. Mimi ni kijana ambaye nimejilea nikafika hapa bila kuona baba yangu lakini sijui kama hii nchi iko na sheria kama hii nchi iko na sheria sijuyi nani ataona kilio changu na aweze kuingilia hii maneno kwasababau nimedhulumiwa Kenya,” he further said.

Ringtone asked his fans and those who care about him to pray for him and help him in whatever way they can.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by SPM BUZZ (@spmbuzzke)

 

 

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *