Rashid

Celebrated Swahili News Anchor Rashid Abdalla has opened up about working with his wife Lulu Hassan.

The couple host weekend news at Citizen TV and run a film production company known as Jiffy Pictures.

Speaking in an interview with Mpasho, Rashid said that Lulu is his key motivation because of the passion she has on their projects.

“Kasiri ambako watu hawakajui ni kwamba mimi napenda kazi yangu lakini niliye naye karibu yangu ananipa nguvu zaidi namzungumzia mke wangu Lulu Hassan ana mapenzi ya dhati kwa kazi tunayoifanya ana mapenzi ya dhati kuweza kusaidia vijana sisi wenyewe ni vijana. Hakuna mwigizaji mbaya, ni kama hajapewa fursa, lakini cha msingi ni ijapo apewa fursa zile sifa zikafanya akabweteka. Akasahau kuwajibitikia kazi yake. Sifa ni changamoto ufanye utie bidii,” he explained.

According to him, Lulu is not just a beautiful woman that he married but she is also his best friend and that is why they coordinate very well while working as well as at their home.

“Kusema ukweli mimi sikuoa mrembo nimeoa rafiki yangu, kwa hivyo mimi sina wasi wasi kuwa na rafiki yangu nje ya nyumba na ndani ya studio. Ukifanya kazi na mtu ambaye ni rafiki yako hakuna fegisu fegisu ..unatoboa tu kwasababu mimi nafurahi tu niko na rafiki yangu. Rafiki ambaye ukikosea atakuambia ukweli , rafiki hakufichi labda rafiki wa uongo na rafiki analilia kukukosoa,” the Citizen TV journalist said.

At the same time he revealed the secrets behind his success.

“Kuomba na kujituma. Siri ni kuomba. Kwanza nashukuru yale mashirika yana tuamini kama vile Maisha Magic twashukuru, siri kutengeneza stori mzuri, siri kuwa na watu wazuri, kwanzia mpishi mpaka anayeendesha gari,” he said

“Ni ushirikiano, kama hakuna ushirikiano ya kudumu hakuna kuenda mahali,” Rashid further said.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *