Otile Brown has bemoaned Kenyan artists for not putting the work as their Tanzanian counterparts are dominating music charts in Kenya.

After performing to a bustling crowd in Mombasa at  Mama Ngina waterfront, the Jamila singer in an interview shared by club volume Instagram aired his discontent on the fact that Tanzanian artist are outshining Kenyan artist in their own backyard.

He reiterated that Kenyan music needs more improvement and better promotion gambits.                                                                                                                                                                                              ”Kuna wakati tuko juu, kuna wakati tuko chini ni graph inapanda na kushuka muda wowote unanielewa lakini hatufanyi muziki wa kubisana unaielewa kuna wasanii tofauti tofauti.

Kuna wasanii ambao wanfanya muziki kutrend, kuonyesha ubingwa lakini sisi tunacommunicate na mia ya watu.

”Unaelelwa muziki wetu ni wa ku liwaza watu na kuonyesha watu huko nje so tunapotrend, hatufanyi muziki wa kubishana.”  ‘Otile Brown remarked.

is remarks sparked a lot of  debate online with netizens divided  on whether Tanzanian artists were making better music or it is simply Kenyan artist who were not pushing themselves enough to promote their Music. In most streaming platforms Tanzanian bongo and Nigerian afro beats dominates Kenyan’s playlist. In the top 5 we have Diamond, Rayvanny  Zuchu, Harmonize and Mbosso with millions of views from Kenya this year alone.  Last week varous Kenyan artists had different opinions about the ongoing Kenya vs Tanzani music dominance comparison.

“I Got A lot Of Support From Outside And Not Here. Over Here They Kept Praising Artists That Made No Sense And Had No Humour In Their Works! The Blogs Here Have Contributed 100% To Destroying Our Industry By Supporting Mediocrity And Foreign Musicians Over Their Own. Well Like I Said, I Did It Once And I Can Do It Again Beginning Now!! Not To Forget That I Did It Alone, And To You My Day One’s, Thank You For Always Supporting Me! Just Try Understanding My Point And It’ll Sink In, One LovWilly Paul.

Stevo simple Boy also declared that he is the Diamond of Kenya.

Wasanii wa Kenya sisi tunajituma zaidi na ukiangalia style yangu na wasanii wengine ziko tofauti. Mimi sana sana napenda kuhimiza jamii, kuwapatia ujumbe, siimbi ngoma za kupotosha watu. Si kila mtu huwanga anaskia ngoma za hepi, kusisimua mwili, kuna wazee ma bikizee kuna watu wazima imbeni ngoma amabazo ukiwa pale kwa nyumba unaziskia na mzazi. Wakenya tutieni bidii najua watu pia walikuwa wanasema Stevo Simple ni Diamond wa Kenya. Hizo zikitulia mi naachilia ngoma. Wasanii wa Kenya  pia watie bidii waache kuimba ngoma ambazo hazileti shangwe,” he said in an interview with 2mbili TV.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *