Pastor Ezekiel

Maximum Miracle Center founder Pastor Pius Muiru has revealed that he has known pastor Ezekiel for over two decades, and that is why he has been standing with him after his arrest.

According to Muiru, Ezekiel got saved in his church back in 2000. He also served in the church before he eventually started his own church. He however went back to Maximum Miracle Center for prayers after failing to get children in his marriage.

“Pastor Ezekiel ambaye sasa hivi anazungukwa na utata aliokokea kwa crusade yetu ya Tononoka mwaka wa 2000. Pastor Ezekiel amekuwa kwa kanisa la Maximum Miracle Center ambalo lilikuwa Spark miaka hio ya nyuma. Alikuwa anacheza keyboard. Baada ya yeye kutoka ameweza kuzunguka hapa na pale katika kumtumikia Mungu lakini baadaye alirudi kwetu na tukaomba na yeye wakati ameoa lakini hapati watoto na Mungu akamjalia na watoto kama vile wanavyoonekana kwa media,” the preacher told the press.

Muiru added that Ezekiel’s breakthrough in ministering came when he decided to close his crusade so that he can attend his(Muiru’s) in Mtwapa a couple of years ago.

“Ile kitu iliturn around huduma ya pastor Ezekiel ni kwamba nimekuja crusade Mtwapa, sikumbuki ni miaka mingapi iliyopita naye Pastor Ezekiel alikuwa amepanga crusade na hakuwa amejua kwamba nimekuja alipoona yangu imeanza alifunga yake akaja na vyombo vyake na kila kitu akaja kwa crusade ambayo baba alikuwa anafanya, akatupatia support na akaniomba the next Sunday niende kwake Majaoni, ndio ilikuwa tu inaanza haikuwa kubwa. Kuna kitu nilifanya viatu vyangu niliweza kutoa nikampatia Ezekiel nikamwambia kimbia na annointing nikachukua viatu vyake vilikuwa vimechakaa na wakati huo huduma ya Ezekiel ilikuwa chini sana. Kuanzia hapo huduma ya Ezekiel imeanza kuinuka,” he said.

“Ezekiel was preaching in our TV channel Nuru TV, during corona but God has been blessing him step by step,” he added.

After his arrest, Muiru said that he visited Ezekiel in the police cell so that he hears from him if there was any truth in whatever he is being accused of.

“He lifted his hands up and said thee is no truth in the accusations. His lawyers also wanted to know the truth in the charges he was facing; from fraud, cruelty on kids, money laundering, genocide, murder. He told them that he is not afraid of prosecution but afraid of God,” Muiru further said

The preacher added that he would not have associated himself with pastor Ezekiel if he had doubts about him

 

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *